Tunatwanga kuelekea KISWAHILI2UNIVERSITY na zisipokoboleka na kusagika vizuri watoto na wajukuu watamalizia. Kazi kwetu kuanza, na kuanza tunaamini ni ushujaa!
Monday, May 23, 2011
KINACHOKUJA: ISTILAHI YA MISINGI YA MENEJIMENTI
HIVI sasa tunaandaa istilahi kwa ajili ya somo la Misingi ya Menejimeni kwa Kiswahili. Tunaomba ushirikiano wako katika kuipitia Istilahi hizo na kutupa mrejesho kwa wakati muafaka ili tuweze kushirikisha mawazo yenu na kupata kilicho bora katika hatua hizi za mwanzo ambapo hakuna anayetujua, anayetuona, anayetusikia wala anayeamini kwamba tumeanza jambo la kihistoria katika maendeleo ya nchi yetu. Yaani, kujijenga kama nchi kwa kutumia maziwa yake yenyewe badala ya yale ya wageni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment